Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL BLOG
Browsing all 1545 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mshindi wa Big Brother Idris Sultan Atuhumiwa Kuvaa Saa Feki na Kuringishia...

Page maarufu ya Fake Watch Busta kutoka Mtandao wa Instagram imeibuka na tuhuma kuwa mshindi wa Big Brother Africa 2014 amevaa saa feki , mtandao huo ambao kazi yake ni kuweka wazi mastaa wanaovaa saa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

50 Cent Admits That He Lied About Owning a Home in Africa....

Remember when 50 Cent boasted that he was almost done with building a home in Africa (he never said where in Africa) and said he was going to have the craziest house warming party ever? Well, he has...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kasi ya Magufuli Yamkuna Rais wa Rwanda Paul Kagame...Aamua Kumuiga Kwa...

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema kuwa atapunguza safari za nje za watumishi wa umma. Apongeza hatua anazochukua Rais Magufuli. Ameyasema hayo Jana wakati wa akiwahutubia viongozi mbalimbali wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIMENUKA Tena Pemba...Kituo cha Afya, Maskani ya CCM na Nyumba za Wananchi...

Zikiwa zimebakia siku saba kufanyika marudio ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar, kumejitokeza viasharia vya uvunjifu wa amani kwa kuharibiwa majengo ya Serikali na nyumba za watu binafsi.Usiku wa kuamkia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mastaa wa Muziki Diamond Platnumz na Fid Q Watakiwa Kurudi Mikoani Kwao...

Staa wa muziki nchini Naseeb Abdul Juma a.k.a Diamond Platnumz ametakiwa kutoka Jijini Dar es salaam na kurejea Mkoani Kigoma alikozaliwa, ili kuwasaidia Wasanii chipukizi katika Mkoa huo.Mbali na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIPU la Uchaguzi wa Meya Jijini Dar es Salaam....Waziri Atoa Amri Uchaguzi...

Hatimaye Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi), George Simbachawene amemaliza mzozo wa uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar es Salaam baada ya kuagiza ufanyike kabla ya Machi 25 na kutaja sifa za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa 26....Kati Yao...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara, ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo vyao vya kazi, 5...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Paul Makonda Aula..Apewa Ukuu wa Mkoa Dar es Salaam..Uteuzi wake Umekuwa Gumzo

Juhudi za Paul Makonda zaonekana kwa Rais Magufuli...Apewa Ukuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.....Uteuzi wake wawa Gumzo mitandaoni watu mbali mbali wakimpongeza

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu: Hakuna Ushirikina Kwenye Ushindi Wangu....Adai Toka Utoto wake yeye...

Lulu amesema kuwa haamini ushirikina wala hajawahi kufanya kazi yoyote katika ushirikina kuanzia utoto wake.Amefunguka hayo usiku wa kuamkia jana kupitia Friday Night Live ya EATV na EA Radio baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mr. Nice Alitumwa na Mungu Kuja Kuninyanyua Mimi - Wabogojo Afunguka

Wabogojo amesema Mr. Nice ndiye alimtoa kwenye na kumfanya kuanza kujulikana kwa watu, hivyo kwake ni sawa na bosi wake na kila akirudi hapa nchini lazima aende nyumbani kwake kujua anaendeleaje na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimekasirika Kupata Hii Tuzo Kutoka Nigeria - Richie Afunguka Adai Alitaka...

Richie ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Weekend Breakfast siku ya jumapili,, na kusema kuwa baada ya filamu yake kuingia kwenye hizo category mbili aliamini yeye anaweza hivyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz Amtumia Salamu za Pongezi PAUL Makonda Baada ya Kuteuliwa...

Mwanamuziki Mwenye mafanikio makubwa katika mziki wa Bongo flava ametuma salamu za pongezi kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kuandika haya:Mafanikio hujaga kwa juhudi na kuto kukata tamaa......

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi Waliofukuzwa NIDA Wagoma Kupokea Barua Za Kuachishwa Kazi

Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) waliofutiwa mikataba ya kazi, wamegoma kupokea barua za kuachishwa kazi wakidai kwamba hawajui kilichoandikwa kuhusu hatima ya madai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya Hapa Matokea ya Mechi ya Simba na Prison ya Mbeya Iliyochezwa Leo...

Wakati watani zao wa jadi Yanga wamemaliza kucheza mchezo wao wa kwanza wa raundi ya pili katika michuano ya klabu bingwa Afrika dhidi ya APR ya Rwanda kwa ushindi wa goli 2-1 March 12, Simba wao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyota ya Mbwana Samatta Yazidi Kung'aa Genk...Afunga Goli Moja Kati ya Manne...

Mbwana kafanya yake leo kaanza kipindi cha kwanza kafunga goal moja dakika ya 24 , Mpira Umeisha Muda si mrefu. Mechi ilikuwa kati ya Genk vs OostendeMatokeo ya mwisho Genk 4 , Oostende 1

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama Hapa Video ya Goli la Mbwana Samatta Alilopachika Katika Mechi ya leo...

Kwa mara ya kwanza klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji ambayo inaongozwa na kocha lakini inachezewa na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta, imempa nafasi ya kuanza katika mchezo wa leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waajiri na Wadaiwa wa Mikopo ya Elimu ya Juu Wapewa siku 60.....HESLB yatoa...

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inatoa siku 60 kuanzia tarehe 14 Machi, 2016 kwa wanufaika wote wa mikopo wanaodaiwa na HESLB kujitokeza na kuanza kulipa madeni yao kabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibizano Makali kati ya Chris Brown na Ex wake Karrueche Tran yako Hapa

Chris Brown na Ex wa Karrueche Tran wamejibizana instagram hivi karibuni. Hii imetoakea baad aya CHris Brown kumtaja Karrueche Tran kwenye remix ya wimbo wake wa ‘Back To Sleep’.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA na MBOWE Waongoza Mafuriko ya Kumtambulisha Katibu Mkuu Mpya wa...

Picha za awali za tambulisho wa Katibu mkuu wa CHADEMA Ndg Dr Vincent Mashinji uliofanyika leo jijini Mwanza mara baada ya hapo jana kuchaguliwa rasmi kuibba mikoba ya ukatibu mkuu wa CHADEMA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nafasi za Kazi Equity for Tanzania Limited, Application Deadline 16th March,...

EQUITY FOR TANZANIA LIMITED (EFTA)JOB VACANCIESOrganizationEquity for Tanzania Limited (EFTA) is an award-winning equipment finance company which provides equipment loans to small, medium and growing...

View Article
Browsing all 1545 articles
Browse latest View live